- 15 views
Wanachama wa kilabu cha kijamii na soka katika kaunti ya Mombasa wamelalamimia kile wanachikitaja kuwa ubadhirifu wa fedha zilizokusanywa kupitia mradi wa mapato wa kilabu hicho .Wanachama wa kilabu hicho wanashutumu kamati ya muda ya kilabu hicho ambayo imehudumu kwa miaka 11 kwa kushindwa kutoa ripoti wazi za matumizi ya kodi zinazokusanywa kwa kukodisha vyumba kilabu hicho.Wanachama hao wametoa wito wa kuandaa uchaguzi wa kilabu hicho ili kuwaondoa kamati hiyo ambayo imekuwepo tangu mwaka wa 2013 na ambayo imesusia kuandaa uchaguzi mpya kwa manufaa ya wanachama hao ili kutatua mzozo huo ambao umekuwepo kwa muda mrefu;
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wanachama wa kilabu cha kijamii na soka walalamikia kuhusu ubadhirifu wa fedha
- 5 Jul 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has launched scathing accusations against President William Ruto, claiming the Head of State is systematically persecuting the Mt. Kenya community.
- 5 Jul 2025 - Royal Media Services was on Friday night recognized as one of the top community promoters of road safety in Kenya.
- 5 Jul 2025 - Muslim religious leaders in Mombasa are now urging President William Ruto to build a mosque within the State House, following his recent admission that a church has been constructed on the grounds.
- 5 Jul 2025 - Health Cabinet Secretary Adan Duale has warned private hospitals in the country against cheating on admissions to get Social Health Authority (SHA) medical insurance funds.
- 5 Jul 2025 - Freed after nine years: Court quashes 'President's Pleasure' detention of mentally ill murder convict.
- 5 Jul 2025 - Kenyans have been urged to lease idle government land to help address the country’s growing food deficit.
- 5 Jul 2025 - Mudavadi described the President as “a man in a tight corner,” noting that the moment demands not popularity but resolve.
- 5 Jul 2025 - Kenya’s blood bank is running low, with only 250,000 pints available against a target of 520,000, as chronic illnesses, accidents, and protest injuries push up demand
- 5 Jul 2025 - Mwangaza is working on making her political comeback after being impeached as Meru Governor.
- 5 Jul 2025 - This is not the first time the Military Chief has criticised Kenya.