- 1,495 views
Mamlaka ya kudhibiti mashirika yasiyo ya serikali na ya kijamii imewasilisha faili za mashirika 16 kwa idara ya upelelezi wa jinai (DCI) kwa uchunguzi kuhusiana na ufadhili wa maandamano ya vijana. Mamlaka hiyo inasema kuwa kati ya mashirika 16 yaliyopata fedha kutoka kwa wakfu wa Ford Foundation, ni matatu tu ambayo yamesajiliwa humu nchini. Hatua hiyo inajiri baada ya katibu katika wizara ya mambo ya kigeni, korir sing'oei, kuandikia barua wakfu wa Ford akidai kuwa unafadhili maandamano.
Mashirika 16 ya kijamii yanachunguzwa na DCI
- - 🔴 TV47 Live ››
- - Duniani Leo ››
- 3 Jul 2025 - President Donald Trump announced Wednesday that he had struck a trade deal with Vietnam under which the country would face a minimum 20 percent tariff and open its market to US products.
- 3 Jul 2025 - Prof Kindiki told MPs last year he would effect the regulations to contain protests.
- 3 Jul 2025 - Logistics firm Express Kenya unveils Sh13b real estate project
- 3 Jul 2025 - Teachers' pay deal talks stall as unions push for higher salaries and allowances
- 3 Jul 2025 - Gen Z steal 'maandamano' thunder from Raila, but will they keep the fire?
- 3 Jul 2025 - Opposition raises concerns amid fears of plans to scuttle 2027 polls
- 3 Jul 2025 - Anger as Passaris seeks to keep public away from Parliament
- 3 Jul 2025 - Ex-MCA files petition to remove Sakaja over gross misconduct
- 3 Jul 2025 - Tears flow for slain teacher as kin eulogise Ojwang' at solemn mass
- 3 Jul 2025 - Last week, Kenyan officers gathered to mark a milestone a few thought was possible.