- 112 views
Serikali imetetea kuanzishwa kwa kadi ya Maisha ili kuchukua nafasi ya vitambulisho vya zamani vya kitaifa. Kwa mujibu wa katibu anayehusika na maswala ya uhamiaji na huduma kwa raia Profesa Julius Bitok, takriban vikao 820 vya kushirikisha wananchi na wadau wengine muhimu vilifanywa katika mchakato wa kushirikisha umma, mashirika ya kijamii, viongozi wa kidini, sekta ya kibinafsi na vyombo vya habari. Bitok alisema kuwa kubadilisha ama kuchukua upya kitambulisho cha kitaifa kila baada ya miaka kumi ni mtindo wa kawaida ambao unazingatiwa na mataifa ya Uganda, Tanzania na Ufaransa. Kufikia sasa jumla ya kadi elfu 972,630 za maisha zimetolewa.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wakenya watahitajika kuchukua upya vitambulisho
- - Ajira kwa vijana ››
- 2 Jul 2025 - Former Chief Justice David Maraga has explained that under Kenyan law, a sitting president can be prosecuted after leaving office, not when in power.
- 2 Jul 2025 - An Eldoret court is set to determine if it will okay an application by the prosecution to detain a police officer accused of fatally shooting his girlfriend and another man at a club in Jua kali, in Uasin Gishu county for 14 more days pending conclusion…
- 2 Jul 2025 - Health Cabinet Secretary Aden Duale has reaffirmed the Ministry’s commitment to resolving long-standing concerns surrounding Universal Health Coverage (UHC) staff. This follows after a consultative meeting with the Kenya Union of Nurses (KNUN) and the…
- 2 Jul 2025 - The last round of investigations was conducted for two weeks in June.
- 2 Jul 2025 - Police said the suspect and his family had already fled by the time the mob arrived.
- 2 Jul 2025 - The three were accused of organising goons to infiltrate the June 25, protests.
- 2 Jul 2025 - Political volatility has in the past made some investors shy away from the Kenyan market.
- 2 Jul 2025 - Ruto opens London Stock Exchange, unveils plan to sell Kenya Pipeline through IPO
- 2 Jul 2025 - Iran supends cooperation with UN nuclear watchdog
- 2 Jul 2025 - As the probe on the June 25 anniversary protests ensues, 141 more suspects were arraigned in different courts across the nation.