- 178 viewsWatu 157 wamefariki Jumatatu katika maporomoko ya ardhi katika eneo la mbali la Kusini mwa Ethiopia, maafisa wa eneo hilo wamesema, wakionya kwamba idadi ya vifo inaweza kuongezeka. “Zaidi ya miili 55 ilipatikana kutokana na maporomoko hayo, taarifa kutoka idara ya masuala ya mawasiliano ya eneo la Gofa ilisema, ikimnuku kiongozi wa eneo hilo Dagmawi Zerihun, ambaye alionya kuwa idadi ya “vifo bado inaweza kuongezeka”. Maporomoko hayo yalitokea saa nne asubuhi majira ya huko kufuatia mvua kubwa katika eneo lenye milima la jimbo la kusini mwa Ethiopia, Dagmawi alisema. Wanawake na watoto ni miongoni mwa waliofariki, alisema, akiongeza kuwa shughuli za kuwatafuta manusura “zimekuwa zikiendelea”. Picha zilizosambazwa kwenye mtandao wa Facebook na chombo cha habari kinachoshirikiana na serikali, Fana Broadcasting Corporate zilionyesha mamia ya watu karibu na eneo la tukio lililoharibika lenye udongo mwekundu ulioporomoka. Eneo la Gofa lipo umbali wa kilomita 450 kutoka mji mkuu Addis Ababa, mwendo wa masaa 10 kwa kutumia gari. Jimbo hilo la kusini mwa Ethiopia limeathiriwa na mvua za muda mfupi za msimu kati ya mwezi Aprili na mapema mwezi Mei ambazo zimesababisha mafuriko na watu wengi kuhama makazi yao, kulingana na shirika la Umoja wa Mataifa la kutoa misaada ya dharura ya kibinadamu (OCHA). - AFP #voa #voaswahili #ethiopia #janga #maporomoko #matope #vifo #uokoaji
Janga la Maporomoko ya Matope Yaua Watu 157
- 14 May 2025 - The crisis in the country's education sector continues to deepen, with the latest development being a Ksh.62 billion budget shortfall.
- 14 May 2025 - Tanzanian authorities arrested a senior opposition official as he was departing for a political conference in Belgium, his party said on Tuesday, as fears grow of an escalating crackdown ahead of an October election.
- 13 May 2025 - The United Kingdom High Commission has set the record straight on the new immigration crackdown system as announced by UK Prime Keir Starmer.
- 13 May 2025 - A fresh petition seeking the ouster of Deputy CJ Philomena Mwilu has been filed at the JSC over allegations that she usurped the powers belonging to CJ Martha Koome when she assigned judges to the impeachment case against the former DP Rigathi Gachagua.
- 13 May 2025 - A family in Kangemi is mourning the tragic death of their 17-year-old son, a dancer and online influencer, who was allegedly beaten to death by security guards at the VVIP Rooftop Club.
- 13 May 2025 - As Nairobi's persistent heavy rainfall continues to batter the city, conditions that have long plagued the Mukuru kwa Njenga informal settlement, a quiet buzz of anticipation is building.
- 13 May 2025 - The JKIA Law Courts has ordered two suspects, including Lake Basin Development Authority Director Ebel Ochieng, to be detained for 23 days as investigations continue into the murder of Kasipul MP Charles Ong’ondo Were.
- 13 May 2025 - The institution is looking for one person for each of the open vacancies.
- 13 May 2025 - The Human Resource Management Professionals Examinations Board (HRMPEB) has implemented a Certificate per Part award for the Certified Human Resource Professional (CHRP) exams in a bold step aimed at improving professional recognition and growth in the…
- 13 May 2025 - “Don’t light fires in my house to warm your cold politics.”