- 2,181 views
Hatua ya Kinara wa ODM Raila Odinga ya kuungana na serikali ya Kenya Kwanza imesutwa vikali na baadhi ya viongozi wa Muungano wa Azimio wa hivi punde akiwa ni Gavana wa kaunti ya machakos Wavinya Ndeti na naibu wake Francis Mwangangi ambao wamelalamika kuwa Odinga amewasiliti Wakenya kwa kuungana na watu wanaodaiwa kusababisha vifo vya vijana wa Gen Z waliokuwa wakiandamana Kuipinga serikali. Wamesema haya eneo la katangi walipozindua barabara ya kilomita 42 kutoka Katangi kuelekea Kithimani eneo bunge la Yatta. Kulingana na Mwangangi, Kinara wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka anastahili kuheshimiwa kwani ametangaza msimamo wake na kwamba ana nafasi bora zaidi kuwa rais wa Kenya katika uchaguzi mkuu ujao.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Baadhi wa viongozi wa Azimio wa mshutumu Raila vikali, baada ya kuungana serikali ya Kenya Kwanza
- - Duniani Leo ››
- - 🔴 TV47 Live ››
- 12 Jul 2025 - Four crew members of a cargo ship attacked and sunk by Yemeni rebels earlier this week are presumed dead, an EU naval force said Friday, with search operations ongoing in the Red Sea.
- 12 Jul 2025 - The Commission is under pressure to deliver on its constitutional mandate and rebuild public confidence.
- 12 Jul 2025 - The law emphasises that officers must first attempt peaceful methods such as verbal warnings.
- 12 Jul 2025 - The Senegalese government issued a warning of 'repercussions' against the organisers.
- 12 Jul 2025 - Dreams of 23-year-old man brutally cut short by a trigger-happy police officer.
- - Ndindi Nyoro: Government is to blame for the violence and deaths during the Saba Saba protests
- 12 Jul 2025 - Raila blasts Ruto over order to shoot protesters
- 12 Jul 2025 - Lawyer Pheroze Nowrojee: Legal luminary who fought for justice
- 12 Jul 2025 - Grief turns to outcry during slain hawker Boniface Kariuki's funeral
- 12 Jul 2025 - How goat feasts turn Maasai men into trusted family planning champions