- 88 views
Viongozi wa chama cha ODM wanazidi kushinikiza kuwa familia za waliopoteza maisha yao na majeruhi wakati wa maandamano ya Gen Z walipwe fidia na zaidi kutengwe siku ya kitaifa ya maombolezi. Gavana wa Mombasa abdulswamad Shariff Nassir amemtaka rais William Ruto ahakikishe haki inapatikana na kusiwe na ahadi hewa. Nassir vilevile ametaka matakwa yote ya chama cha ODM yatimizwe ikiwemo kuwaachilia mara moja wote waliokamatwa na kesi kuondolewa kwa ambao tayari wamefunguliwa mashtaka.
Gavana wa Mombasa amhimiza Rais Ruto atekeleze ahadi yake
- - Sam's Sense ››
- - Bonyo's Bone ››
- - Kaikai's Kicker ››
- - Yvonne's Take ››
- 16 May 2025 - Former top cop Charles Owino provides compelling analogy of how to commit murder
- 16 May 2025 - Private firm to inject Sh12.3b to revive sugar factories
- 16 May 2025 - CMA approves Standard Group's Sh1.5b rights issue
- 16 May 2025 - 24 million Kenyans wear mitumba: Report
- 16 May 2025 - PS Omollo: Homa Bay ready to host Madaraka Day celebrations
- 16 May 2025 - Residents protest neglect of colonial-era DC's office
- 16 May 2025 - PSC distances itself from UoN leadership wrangles
- 16 May 2025 - Magwanga escapes alleged gun attack after death of Kasipul MP
- 16 May 2025 - Gachagua's party joins country's growing special-purpose vehicles
- 16 May 2025 - Somalia training special armed unit to face off with al-Shabaab