Skip to main content
Skip to main content

Familia za wanaharakati waliotoweka Uganda zafanya maombi maalum zikimtaka Rais Ruto kuingilia kati

  • | Citizen TV
    532 views
    Duration: 2:33
    Maombi maalum yamefanyika leo kwa mwanaharakati wa Kenya Nicholas Oyoo na mwenzake Bob Njagi waliotoweka nchini Uganda. Ikiwa ni siku kumi na moja sasa baada ya kutoweka kwao, familia za wawili hawa zinamtaka Rais William Ruto kuingilia kati na kuhakikisha jamaa zao wameachiliwa huru na kurejeshwa nyumbani salama