Rais wa Marekani na Makamu wake wakiwalaki Wamarekani walioachiliwa huru
Wamarekani watatu walioachiliwa kutoka katika jela Russia wamerejea Marekani kufuatia mabadilishano ya wafungwa baina ya Marekani na Russia.
Mwandishi wa habari Evan Gershkovich, mkurugenzi wa masuala ya usalama Paul Whelan na Alsu Kurmasheva mwandishi wa habari mwenye uraia wa Marekani na Russia, walisafirishwa kutoka jimbo la Maryland hadi Texas mapema Ijumaa.
Waliwasili katika uwanja wa ndege wa jeshi wa Andrews, Maryland usiku wa Alhamisi kwa ajili ya kukutana na familia zao.
Rais Joe Biden na Makamu wa rais Kamala Harris walikuwa uwanjani kuwalaki na kusalimiana nao.
Maafisa wanasema mpango huo wa makubaliano ya kimataifa umewaweka huru darzeni mbili za watu.
#wamarekani #russia #marekani #wafungwa #evangershkovich #paulwhelan #alsukurmasheva #mwandishiwahabari #rais #joebiden #kamalaharris #voa #voaswahili
13 Jul 2025
- IEBC recently got a new chair & commissioners.
13 Jul 2025
- Gachagua suggested Raila is inconsequential in Kenyan politics.
13 Jul 2025
- Unions had threatened to boycott work.
13 Jul 2025
- Public Service Cabinet Secretary Geoffrey Ruku has called on the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) to put in place all necessary regulations and processes in preparation for the pending by-elections across the country and the 2027…
13 Jul 2025
- Gaza's civil defence agency said Israeli air strikes on Sunday killed more than 40 Palestinians, including at a market and a water distribution point, as talks for a ceasefire between Israel and Hamas stalled.
13 Jul 2025
- Deputy President Kithure Kindiki said the focus now is completion of these projects and commencement of others, calling on residents not to fall prey to those selling cheap and retrogressive politics.
13 Jul 2025
- A man was left with serious injuries on Sunday after being beaten by residents who suspected him of being a livestock thief in the Drys area of Ainapkoi, Uasin Gishu County.
13 Jul 2025
- Thousands of people streamed to a small Italian hilltop village not far from Rome on Sunday, to hear Pope Leo deliver his first Angelus prayer from his summer residence at Castel Gandolfo.
13 Jul 2025
- IEBC recently got a new chair & commissioners.
13 Jul 2025
- Kenya Simbas on Sunday bowed out of the 2027 Rugby World Cup contention after losing to Zimbabwe 29-23 in a tight Rugby Africa Cup semifinal at Mandela National Stadium in Uganda.
13 Jul 2025
- Residents of Giacai village in central Kirinyaga County are demanding immediate investigations into an incident where police officers allegedly stormed a local bar and roughed up customers for unknown reasons, injuring some.
13 Jul 2025
- National Assembly Speaker Moses Wetang’ula has rallied voters in Meru to support President William Ruto’s re-election bid in 2027, citing the Kenya Kwanza administration’s development record.
13 Jul 2025
- Drinking age to be raised and home deliveries of alcohol to be outlawed.