Skip to main content
Skip to main content

KMPDU yaongoza maandamano Kiambu, Duale ailaumu serikali ya kaunti kwa kuzorotesha huduma za afya

  • | Citizen TV
    1,060 views
    Duration: 3:11
    Chama cha madaktari nchini KMPDU leo kimeongoza maandamano kaunti ya Kiambu kulalamikia hali ya afya nchini humo huku sasa waziri wa afya Aden Duale akiilaumu serikali ya kaunti hiyo kwa kujitia hamnazo. Duale sasa akiagiza suluhu ya haraka kwa hali ya afya Kiambu akisema ana ushahidi kuwa vifo vya kina mama vimeongezeka. Madaktari waliondamana nao wakionya hatari zaidi endapo mambo Kiambu hayatashughulikiwa