Skip to main content
Skip to main content

Harambee Stars yajitayarisha kwa mechi ya mwisho ya kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Ivory Coast

  • | Citizen TV
    165 views
    Duration: 1:29
    Timu ya taifa ya kandanda Harambee Stars ilifanya mazoezi ya kwanza jijini Abidjan kabla ya mechi dhidi ya Ivory Coast hapo kesho. Hii ikiwa ni mechi ya mwisho ya kundi f ya kusaka tiketi ya kombe la dunia mwaka ujao