- 26 views
Wizara ya afya imethibitisha kwamba mwathiriwa pekee wa ugonjwa wa M-Pox humu nchini amepona. Waziri wa afya Dr. Deborah Barasa pia alisema kuwa wale ambao huenda walitangamana na mgoinjwa huyo walipatikana na kufanyiw auchunguzi huku 29 wakithibitishwa kwamba hawana ugonjwa huo na sampuli 10 zitafanyiwa uchunguzi zaidi. Huku serikali ikiimarisha uchunguzi na kuchukua hatua za haraka mkurugenzi mkuu wa afya Dr. Patrick Amoth alisema kuwa chanjo dhidi ya M-Pox zitawasilishwa nchini hivi karibuni.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mwathiriwa wa pekee wa Ugonjwa wa Mpox nchini Kenya apata nafuu
- 4 Jun 2025 - Kitui East Member of Parliament (MP) Nimrod Mbai has fired a warning against insulting President William Ruto within his constituency, hinting at dire ramifications.
- 4 Jun 2025 - In an X statement on Wednesday, Deputy President Kithure Kindiki confirmed that he had met with MP Baya, who agreed to drop the bill following consultations with stakeholders from Embu County.
- 4 Jun 2025 - Interior Cabinet Secretary (CS) Kipchumba Murkomen has declared Friday, June 6, a public holiday to mark the celebration of Eid-ul-Adha.
- 4 Jun 2025 - In Kenya, higher income earners pay a higher percentage of their income in taxes as PAYE.
- 4 Jun 2025 - Applicants have less than three months to acquire the new-generation plates.
- 4 Jun 2025 - Police say they have arrested a sixth suspect in the ongoing probe over a string of violent robberies in Nakuru.
- 4 Jun 2025 - On June 2, Boniface Mwangi and Uganda Agatha Atuhaire detailed the extensive torture they suffered in Tanzanian custody.
- 4 Jun 2025 - The first step is logging in to the National Transport and Safety Authority (NTSA) website
- 4 Jun 2025 - In a circular dated May 21, 2025, Head of Public Service Felix Koskei ordered the immediate rollout of the new high-security plates across all government fleets.
- 4 Jun 2025 - Activists protest delayed ruling on Lamu coal power project case