Skip to main content
Skip to main content

Mzee wa nyumba kumi auliwa akiuza maziwa kaunti ya Vihiga

  • | Citizen TV
    274 views
    Duration: 1:42
    Wakazi wa Ebuyangu eneo bunge la Emuhaya kaunti ya Vihiga wanaishi kwa hofu baada ya mwenyekiti wa nyumba kumi kuvamiwa na kuuwawa kinyama alfajira ya jumamosi alipokuwa anauza maziwa.