- 33 views
Mshauri wa maswala ya usalama wa taifa Monica Juma ameelezea mpango wenye vipengele vitano wa kuzuia mashirika ya kigaidi kupata fedha na kwa hivyo kupunguza uwezo wao na kudhibiti shughuli zao. Haya yamefichuliwa huku wasimamizi wakuu wa sera na watoa maamuzi katika sekta ya kukabiliana na ugaidi kutoka mataifa manane ya bara la Afrika wakikusanyika jijini Nairobi. Mkutano huo wa siku moja chini ya kauli-mbiu "Kukabiliana na Ufadhili wa Ugaidi" ulizingatia mikakati ya kugundua na kukabiliana na ongezeko la mitandao ya kifedha ya magaidi kupitia mbinu za kawaida na za mtandaoni ambazo huwawezesha kukusanya, kuhamisha, kuhifadhi na kutakasa fedha ili kufanikisha shughuli zao.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mikakati ya kuzuia ufadhili yapendekezwa
- 26 Jun 2025 - Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has accused a section of the media of fueling unrest during Wednesday’s Gen Z-led protests, claiming they played a central role in mobilising demonstrators under the guise of live coverage.
- 26 Jun 2025 - Interior CS Kipchumba Murkomen has revealed that the government has not allocated any budget to compensate the victims whose properties were either looted or destroyed during the Wednesday, June 25, protests.
- 26 Jun 2025 - Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen says 300 police officers were injured on Wednesday during the youth-led anti-government protests that rocked various parts of the country.
- 26 Jun 2025 - The Kenyan Women Senators Association (KEWOSA) has condemned the sexual violence witnessed during the June 25 protests across the country.
- 26 Jun 2025 - Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has vehemently castigated the Wednesday, June 25, demonstrations, citing that the protesters had a motive to forcefully seize power through a coup.
- - Family mourns 17-year-old Brian Ndung'u shot dead during Gen Z protests in Olkalou
- 26 Jun 2025 - CNN, BBC and Al Jazeera all had Kenyan journalists on the ground covering the protests on Wednesday.
- 26 Jun 2025 - In a statement released Thursday, the country's leading legal body expressed condolences to the families of the eight people confirmed to have died during the nationwide protests, one year after the 2024 anti-Finance Bill demonstrations.
- 26 Jun 2025 - The country has been facing accusations of arming RSF.
- 26 Jun 2025 - The Kenya Union of Journalists (KUJ), Kenya Editors Guild (KEG), Association of Media Women in Kenya (AMWIK), and Kenya Correspondents Association have filed a petition in the High Court claiming that the government's actions violate several fundamental…