Skip to main content
Skip to main content

Wahadhiri wa chuo cha walimu cha Garissa waomboleza

  • | Citizen TV
    5 views
    Wahadhiri na wanafunzi wa chuo cha walimu cha Garissa wameandamana chuoni humo kushinikiza vitengo vya usalama kufanya upelelezi na kuwakamata waliohusika kwenye mauaji ya Hillary Ochieng ambaye alikuwa mhadhiri katika chuo hicho.