- 3 views
Kampeni inayolenga kupunguza ajali za barabarani kwenye barabara kuu ya Thika imezinduliwa katika eneo la Gatundu Kaskazini, kaunti ya Kiambu.Mbunge wa eneo hilo Elijah Kururia ameshirikiana na wadau wengine katika juhudi za kukomesha ajali ambazo zimesababisha vifo vya zaidi ya watu kumi katika eneo hilo katika kipindi cha miezi kadha iliyopita huku watu wengine wengi wakijeruhiwa. Kururia amesema maafisa wa afisi ya ustawi wa eneo bunge watashirikiana na maafisa wa polisi wa trafiki kutoa uhamasisho kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kutii sheria za barabarani.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kampeni ya kupunguza maafa barabarani yaanzishwa
- 30 Jun 2025 - Orange Democratic Movement (ODM) party National chairperson Gladys Wanga now claims that former Deputy president RigaThi Gachagua has hijacked the Gen Z-led protests to get into power through the backdoor.
- 30 Jun 2025 - Esperanza Martinez lost three relatives who were murdered and saw numerous bodies left in the streets of her neighborhood, a former stronghold of the notorious MS-13 street gang in El Salvador.
- 30 Jun 2025 - Ruto is currently in Spain, on the first leg of his European tour.
- 30 Jun 2025 - Southern Spain is the worst-affected region, with temperatures in the mid-40s Celsius recorded in Seville and neighbouring areas.
- 30 Jun 2025 - The individuals are set to be arraigned in court.
- 30 Jun 2025 - The fertizer was recovered during an intelligence-led operation in Luluma Village, Makiri area, and Maua Township by law enforcement officers.
- 30 Jun 2025 - Osotsi said there is no need for another national dialogue between the state and youth, since earlier agreements have not been implemented.
- 30 Jun 2025 - Wheels of justice; court stories lined up for today.
- 30 Jun 2025 - The assailant escaped the scene and efforts to trace him are ongoing.
- 30 Jun 2025 - The motive of the murder is yet to be determined