- 27 views
Wizara ya fedha na mipango imesema serikali ya Kenya iko ange kukabiliana na biashara ya ulanguzi wa pesa. Kenya imetajwa kuwa miongoni nchi zilizotepetea katika kuchunguza na kuwashtaki washukiwa wa biashara haramu ya pesa.Akiongea kwenye mkutano unaoendelea wa kukabiliana na biashara haramu ya pesa katika kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika eneo la Diani kaunti ya Kwale, katibu katika wizara ya fedha, Chris Kiptoo alisema mapato kutokana na ulanguzi wa pesa hutumiwa kufadhili makundi ya kigaidi ambavyo hutatiza udhabiti wa mataifa husika.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Serikali yasema iko ange kupambana na ulanguzi wa fedha
- 30 Jun 2025 - Orange Democratic Movement (ODM) party National chairperson Gladys Wanga now claims that former Deputy president RigaThi Gachagua has hijacked the Gen Z-led protests to get into power through the backdoor.
- 30 Jun 2025 - Esperanza Martinez lost three relatives who were murdered and saw numerous bodies left in the streets of her neighborhood, a former stronghold of the notorious MS-13 street gang in El Salvador.
- 30 Jun 2025 - Ruto is currently in Spain, on the first leg of his European tour.
- 30 Jun 2025 - Southern Spain is the worst-affected region, with temperatures in the mid-40s Celsius recorded in Seville and neighbouring areas.
- 30 Jun 2025 - The individuals are set to be arraigned in court.
- 30 Jun 2025 - The fertizer was recovered during an intelligence-led operation in Luluma Village, Makiri area, and Maua Township by law enforcement officers.
- 30 Jun 2025 - Osotsi said there is no need for another national dialogue between the state and youth, since earlier agreements have not been implemented.
- 30 Jun 2025 - The assailant escaped the scene and efforts to trace him are ongoing.
- 30 Jun 2025 - Wheels of justice; court stories lined up for today.
- 30 Jun 2025 - Israel's military operation scuppered a sixth round of mainly indirect talks set to take place in Muscat two days later.