Skip to main content
Skip to main content

Mshukiwa wa mauaji ya afisa wa GSU nje ya ikulu azuiliwa kwa siku 14 kwa uchunguzi

  • | Citizen TV
    19,112 views
    Duration: 2:56
    Mshukiwa anayedaiwa kumdunga mshale na kumuua afisa wa GSU nje ya ikulu ya Nairobi amefikishwa mahakamani. Mshukiwa huyo kithuka kimunyi musyimi atazuiliwa kwa siku 14 uchunguzi ukiendelea