- 72 views
Makundi ya kutetea haki za binadamu yanashinikiza kurejelewa kwa shughuli ya kutafuta mili katika eneo la kutupa taka la Kware. Wakiongozwa na kundi la Africa Group, wanaharakati hao wamekashifu hatua ya kusitisha shughuli hiyo licha ya mshukiwa mkuu wa mauaji hayo kukiri wazi kuwa aliuwaua zaidi ya wanawake-42. Aidha, wana-harakati hao wanataka majibu kuhusu oparesheni ya kumsaka mshukiwa mkuu aliyetoroka kwenye kituo cha polisi zaidi ya wiki mbili zilizopita. John Kahiro na taarifa kamili kuhusu matakwa ya Wakeya huku Kenya ikiungana na ulimwengu kuadhimisha siku ya kimataifa ya kuwakumbuka watu waliotoweka.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Siku ya Kuwakumbuka Waliopotea I Wateteaji haki washinikiza kurejelewa kwa utafutaji miili Kware
- 5 Jul 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has launched scathing accusations against President William Ruto, claiming the Head of State is systematically persecuting the Mt. Kenya community.
- 5 Jul 2025 - Royal Media Services was on Friday night recognized as one of the top community promoters of road safety in Kenya.
- 5 Jul 2025 - Muslim religious leaders in Mombasa are now urging President William Ruto to build a mosque within the State House, following his recent admission that a church has been constructed on the grounds.
- 5 Jul 2025 - The closure is set to affect major transport activities in the heart of Kenya's capital.
- 5 Jul 2025 - Popular local dance continues to take pastoral border areas in Kenya and Uganda by storm.
- 5 Jul 2025 - Nairobi County has launched 11 locally-developed projects aimed at addressing major shortcomings in the city’s cancer care system.
- 5 Jul 2025 - The incident happened on Friday evening, causing tension.
- 5 Jul 2025 - The Judicial Service Commission has condemned police for firing gunshots while re-arresting a suspect inside the Ruiru Law Courts on Friday, July 4.
- 5 Jul 2025 - Health Cabinet Secretary Adan Duale has warned private hospitals in the country against cheating on admissions to get Social Health Authority (SHA) medical insurance funds.
- 5 Jul 2025 - The demand comes after Ruto defended the construction of Ksh1.2 billion church.