- 24 views
Wizara ya afya imetangaza kisa cha tatu cha maambukizi ya ugonjwa wa Mpox humu nchini. Mkurugenzi mkuu wa huduma za afya Patrick Amoth amesema kisa hicho kimeripotiwa kaunti ya Nairobi na kinamhusisha mwanamke wa umri wa miaka-30 aliyesafiri kutoka Uganda wiki iliyopita. Amoth kupitia taarifa yake amethibitisha kuwa mgonjwa huyo hayuko katika hali mbaya ana anatibiwa katika wadi moja iliyotengwa jijini Nairobi. Na jinsi anavyotuarifu Abdiaziz Hashim kuna taarifa kwamba mgonjwa wa pili wa Mpox amepona na kuondoka hospitalini.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kenya yanakili kisa cha tatu cha ugonjwa wa Mpox
- 5 Jul 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has launched scathing accusations against President William Ruto, claiming the Head of State is systematically persecuting the Mt. Kenya community.
- 5 Jul 2025 - Royal Media Services was on Friday night recognized as one of the top community promoters of road safety in Kenya.
- 5 Jul 2025 - Muslim religious leaders in Mombasa are now urging President William Ruto to build a mosque within the State House, following his recent admission that a church has been constructed on the grounds.
- 5 Jul 2025 - Health Cabinet Secretary Adan Duale has warned private hospitals in the country against cheating on admissions to get Social Health Authority (SHA) medical insurance funds.
- 5 Jul 2025 - The demand comes after Ruto defended the construction of Ksh1.2 billion church.
- 5 Jul 2025 - Freed after nine years: Court quashes 'President's Pleasure' detention of mentally ill murder convict.
- 5 Jul 2025 - Kenyans have been urged to lease idle government land to help address the country’s growing food deficit.
- 5 Jul 2025 - Mudavadi described the President as “a man in a tight corner,” noting that the moment demands not popularity but resolve.
- 5 Jul 2025 - Kenya’s blood bank is running low, with only 250,000 pints available against a target of 520,000, as chronic illnesses, accidents, and protest injuries push up demand
- 5 Jul 2025 - Mwangaza is working on making her political comeback after being impeached as Meru Governor.