- 94 views
Zaidi ya miaka mitano baadaye, kina mama waliowapoteza watoto wao katika njia tatanishi baada ya kupigwa risasi na polisi bado wanalilia haki zao. Vijana wanaoishi mijini sasa wanakabiliwa na hatari zaidi ya kudhulumiwa au kuuawa na polisi. Hayo ni kulingana na uchunguzi wa muungano wa vyama vya uanaharakati wa haki za kibinadamu wa missing voices. Mwaka huu watu 60 wametoweka baadhi wameaga dunia na wengine hawajulikani waliko. mumbi wambugu anaarifu zaidi.
Vijana wanaoishi mijini wanakabiliwa na hatari zaidi ya kudhulumiwa na kuuawa na polisi
- 13 Jul 2025 - Residents of Giacai village in central Kirinyaga County are demanding immediate investigations into an incident where police officers allegedly stormed a local bar and roughed up customers for unknown reasons, injuring some.
- 13 Jul 2025 - Indonesian authorities have foiled a smuggling attempt of more than 1,200 endangered Javan white-eye birds after discovering them stuffed into cages, they said Sunday.
- 13 Jul 2025 - The succession of Tibetan spiritual leader, the Dalai Lama, is a thorn in China-India relations, the Chinese embassy in New Delhi said on Sunday, as India's foreign minister prepares to visit China for the first time since deadly border clashes in 2020.
- 13 Jul 2025 - The worshippers vowed to be unrelenting untill their grievances were heard.
- 13 Jul 2025 - The family of Husein Abdirahman Mohamed in Wajir town has been living in fear, anxiety, and silence for 5 days since the Huduma Centre manager vanished without a trace.
- 13 Jul 2025 - Gogo and Nyakongo win volleyball as Oyugi Ogango retain netball in Nyanza
- 13 Jul 2025 - Collina praises ref-cam, new rules after successful Club World Cup trial
- 13 Jul 2025 - KUCCPS opens window for inter-university and College transfers
- 13 Jul 2025 - The ministry had announced the posting of interns in June.
- 13 Jul 2025 - MP Aseka, Senator Khalwale clash over shoot order