- 20 views
Maafisa wa polisi huko Wote, katika kaunti ya Makueni wanatekeleza uchunguzi kuhusiana na kugunduliwa kwa miili miwili iliyokuwa imeoza katika nyumba moja ya kupanga kwenye barabara ya Bagladeshi. Mili hiyo iliyotambuliwa kuwa ya mwanamme na mwanamke ilipatikana baada ya majirani kuripoti harufu mbaya iliyokuwa ikitoka kwenye makazi hayo na hivyo wakawafahamisha maafisa wa polisi. Kwingineko, mwanafunzi wa kike wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari ya mseto ya Kiptobit anauguza majeraha mabaya ya kichwa, mkono na mgongo baada ya kudaiwa kushambuliwa na mpenziwe wa kiume.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Miili miwili ya wapenzi yapatikana chumbani Makueni
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 5 Jul 2025 - Opposition leaders have come out guns blazing to condemn President William Ruto's stance on constructing a church within the State House precincts, using what the president describes as his own money.
- 5 Jul 2025 - A family in Eldoret, Uasin Gishu County, is mourning the loss of their son, Timothy Bwibo, who succumbed to gunshot injuries on Friday night.
- 5 Jul 2025 - Former Meru Governor Kawira Mwangaza has been named the new party leader of Umoja na Maendeleo Party, taking over from Charles Wambora Mugambi.
- 5 Jul 2025 - National Assembly Speaker Moses Wetang’ula has faulted the trend of tribal and divisive politics, cautioning that such narratives risk plunging the country into dangerous polarization.
- 5 Jul 2025 - President William Ruto has replaced former Kesses Member of Parliament Dr. Swarup Mishra as the chair of the Kenya BioVax Institute, three months after suspending him.
- 5 Jul 2025 - James McMurdock denies any wrongdoing over claims relating to pandemic-era loans taken out by his companies.
- 5 Jul 2025 - Kenya’s road to the 2025 World Athletics Championships in Tokyo enters a decisive phase on Saturday, July 5, 2025, as the Prefontaine Classic in Eugene, Oregon, doubles as the national trials for the women’s 5,000m and men’s 10,000m races. While reigning…