- 113 views
Kizaazaa kilishuhudiwa katika mahakama ya Milimani baada ya wanaharakati kutatiza shughuli na kulazimisha jaji kuondoka mahakamani. Wanaharakati walitamaushwa na hatua ya kaimu inspekta jenerali wa polisi Gilbert Masengeli ya kukiuka agizo la mahakama na kukosa kuhudhuria vikao vya mahakama kwa mara ya nne sasa kujibu sintofahamu ya waliko watu watu waliotekwa nyara Kitengela. Mahakama inatarajia mkuu huyo wa polisi kujiwasilisha Jumatatu baada ya kudai kuwa yuko Mombasa kikazi.
Kizaazaa chashuhudiwa mahakamani Milimani baada ya wanaharakati kutatiza shughuli
- 20 Jul 2025 - A third suspect is still at large.
- 20 Jul 2025 - Move by ministry meant to optimise resource use amid growing financial constraints.
- 20 Jul 2025 - Other than rest, residents in will also face heavy fines.
- 20 Jul 2025 - Bribery index 2025
- 20 Jul 2025 - Trump insists Iran nuclear sites destroyed amid reports some survived
- 20 Jul 2025 - Reports say the Druze fighters on Saturday pushed out Bedouin gunmen from the city of Suweida
- 20 Jul 2025 - "There is no government that has employed more teachers than this one."
- 20 Jul 2025 - The students marched out of the school compound at night.
- 20 Jul 2025 - Why patients abandoned by family have turned KNH wards into their home
- 20 Jul 2025 - How Ruto is bandying terror charges to scare Gen-Z from demos