Kijana alia baada ya kubusu mkono wa Papa Francis
Kijana wa Kiindonesia alikumbatiwa na Papa Francis. Kijana huyo alilia wakati wa ziara ya papa alipokuwa akihudhuria mkutano wa muungano wa kidini na kukutana na wanufaika kutoka taasisi za hisani huko Jakarta Alhamisi (September 5).
Papa ambaye anasumbuliwa na maumivu ya magoti na mgongo, alikuwa katika kiti cha magurudumu akiingia katika ukumbi huku akiwasalimia watu. Wakati kijana huyo alipoinama kubusu mkono wa Papa, alianza kulia na Francis alikivuta kichwa cha kijana huyo karibu naye kifuani na kumkumbatia.
Papa Francis Alhamisi alitoa wito kwa Waislam na Wakristo kushinikiza viongozi wa dunia kukabiliana na hatari za mabadiliko ya hali ya hewa na misimamo mikali ya kiitikadi, na kueleza chimbuko la pamoja la imani za dini mbalimbali alipokuwa akifanya ziara katika msikiti mkubwa zaidi huko Southeast Asia huko Jakarta.
Papa yuko katika ziara ya Indonesia hadi Ijumaa (Septemba 6), ikiwa ni sehemu ya safari yake ya siku 12 katika nchi nne kwenye eneo la Southeast Asia na Oceania. - Reuters
#papafrancis #indonesia #jakarta #uislam #ukristo #ukatoliki #haliyahewa #viongozi #dunia
5 Aug 2025
- The feature is set to revolutionalise how the messaging platform works.
5 Aug 2025
- The products have grown in popularity among women.
5 Aug 2025
- Details required to register a car in Kenya.
6 Aug 2025
- Busia Senator Okiya Omtatah has outlined a bold vision for Kenya should he clinch the presidency in the 2027 General Election.
6 Aug 2025
- Busia Senator Okiya Omtatah has launched a scathing attack against President William Ruto, questioning his integrity, and suitability to hold public office.
6 Aug 2025
- Firebrand Busia Senator and 2027 presidential hopeful Okiya Omtatah has declared his net worth to be in the range of Ksh.100 million to Ksh.200 million.
6 Aug 2025
- A section of Members of Parliament allied to the Kenya Kwanza administration have strongly rejected a report by the Kenya Human Rights Commission (KHRC) that called for the scrapping of the Hustler Fund.
6 Aug 2025
- A 14-year-old who was on the verge of being married off in Kajiado County was rescued, amidst rising concerns of early child marriages during the school holiday season.
6 Aug 2025
- If he stabilises the economy, 2027 election will be Ruto's to lose
6 Aug 2025
- Why we should start thinking twice before having children
6 Aug 2025
- Audit exposes Sh9.4b hole in e-Citizen, shows millions paid in illegal charges
6 Aug 2025
- Six Kenyans sue polls agency for blocking petitions to recall MPs
6 Aug 2025
- Raila's sudden opposition to NG-CDF after 20 years silence