- 39 views
Katibu katika wizara ya kilimo Paul Rono ameagiza shirika la ustawi wa majani chai humu nchini-KTDA na bodi ya majani chai kuharakisha taratibu za kutenganisha viwanda vidogo vidogo-17 vya kutayarisha zao hilo kutoka kwa viwanda vyao vikuu katika kaunti ya Kericho. Akiongea wakati wa mkutano baina ya wakulima na wadau wa sekta ya majani chai katika kiwanda cha majani chai cha Chelal huko Bureti, kaunti ya Kericho, Rono alikariri haja ya kuvipa viwanda hivyo vidogo vidogo uhuru wa kutekeleza shughuli zao ili kuhakikisha wakulima wanawasilisha majani chai bora.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
KTDA yahimizwa kuharakisha taratibu za kutenganisha viwanda vidogo-17 Kericho
- - Maonyesho ya magari ››
- 29 May 2025 - The Ministry of Health has announced a significant reduction in breast cancer treatment costs for Kenyan patients, with treatment sessions expected to drop from Ksh.120,000 to Ksh.40,000.
- 29 May 2025 - President William Ruto now says Kisumu and its environs is set to reap big from 15,000 affordable housing units’ constructed in the first phase of the ongoing project.
- 29 May 2025 - The High Court has issued conservatory orders stopping the gazettement of Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) nominees and their swearing-in.
- 29 May 2025 - The Attorney General (AG), Dorcas Oduor, has affirmed that the Public Seal is under her custody, contradicting earlier media reports suggesting otherwise.
- 29 May 2025 - The project will be implemented through a Public-Private Partnership (PPP).
- 29 May 2025 - The shilling has traded at Ksh129 to the US dollar for the past six months.
- 29 May 2025 - In recent times, the military figure spent most of his time in Nairobi among other places.
- 29 May 2025 - Joseph Kuria Irungu alias Jowie has not been pardoned under the presidential Power of Mercy, his lawyer Andrew Muge has stated.
- 29 May 2025 - The Seal's location has been a subject of national debate.
- 29 May 2025 - NAIROBI, Kenya May 29– Detectives have arrested Murang’a Kanyenyaini MCA Grace Nduta, popularly known as “City,” in connection with the staged abduction of Juja MP George Koimburi, in what police have described as a politically motivated plot. She was…