- 14 views
Idara ya urekebishaji tabia itanakili idadi ya wafungwa wanaotumikia hukumu zisizozidi miaka mitano ili kuangazia upya hukumu hizo kwa lengo la kupunguza msongamano magerezani na pia kuwashirikisha kwenye mpango wa kuhudumia jamii. Idara hiyo imeimarisha mafunzo na kozi kwa wafungwa.Kwa mujibu wa katibu katika wizara ya urekebishaji tabia, Salome Beacco idara ya magereza inashirikiana na idara ya mahakama ili maafisa wa mahakama wawe wakitembelea magereza mara kwa mara kuchunguza upya hukumu za wafungwa zinazoweza kugeuzwa kuwa huduma kwa jamii. Alisema hayo alipozuru gereza ya Kericho kabla ya kuelekea kwenye magareza ya Sotik na Bomet
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Serikali yalenga kupunguza msongamano magerezani
- 12 Jul 2025 - The family of Julia Njoki is demanding justice for their daughter as they remain unconvinced about the circumstances surrounding her death after the Saba Saba protests.
- 12 Jul 2025 - In a sharp rebuttal, Kindiki described the claims as “laughable” and “a clear sign of panic” within opposition ranks.
- 12 Jul 2025 - Kenya Power has announced scheduled power interruptions in several parts of the country on Sunday, July 13, 2025,
- 12 Jul 2025 - President William Ruto has reappointed former judge of the East African Court of Justice Charles Nyachae as the Chairperson of the Kenya School of Government for a three-year term.
- 12 Jul 2025 - A Director at Mara Ndovu Lodge Limited was arraigned before the Milimani Law Courts over charges of defrauding an unsuspecting victim out of Ksh.48.8 million in a sham investment deal.
- 12 Jul 2025 - A US citizen was beaten to death and a Palestinian shot and killed when Israeli settlers attacked Sinjil.
- 12 Jul 2025 - Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has declared that the government will unleash the same energy used to combat
- 12 Jul 2025 - Police have arrested a man believed to be involved in the destruction of property at Kitengela Sub-County Hospital
- 12 Jul 2025 - The leadership of two road agencies has been shaken following the resignation of two top officials on Friday.
- 12 Jul 2025 - Naivasha MP Jayne Kihara is accused of making inciteful comments at an unspecified event.