- 355 views
Naibu raisi Rigathi Gachagua amewataka viongozi kutoka chama cha ODM waliojiunga na serikali kutekeleza wajibu wao serikalini na kuhakikisha hawaingilii majukumu wala kutaka kuchukua nyadhfa za viongozi wengine waliowapata serikalini.akizungumza katika hafla ya ibada ya mazishi ya Hellena Bett mamake mfanyibiashara mashuhuri dkt David Langata kaunti ya nandi ,gachagua ameweka wazi hapingi serikali ya umoja ila kila kiongozi anafaa kutekeleza wajibu wake wa kikatiba
Naibu Gachagua awataka viongozi wa ODM kutochukua nyadhfa za viongozi wengine serikalini
- 1 Jun 2025 - A number of Kenyan journalists deployed to cover Madaraka Day celebrations in Homa Bay County were injured after an assault by security officers.
- 1 Jun 2025 - President William Ruto announced the introduction of a health fund payment model that will allow Kenyans to remit their Social Health Authority (SHA) contributions flexibly.
- 1 Jun 2025 - Kenyans will be able to access up to Ksh. 5 million home loan if a proposal by President William Ruto is submitted to the National Assembly and passed into law.
- 1 Jun 2025 - The President concluded his address using lyrics from popular Luo song sung by Ohangla maestro, Prince Indah.
- 1 Jun 2025 - Top government officials and clergy are expected to attend his funeral.
- 1 Jun 2025 - The event drew thousands of attendees eager to witness the symbolic ceremony.
- 1 Jun 2025 - A section of residents walked out as the county commissioner stood to address.
- 1 Jun 2025 - If the country borrows heavily to fund development, and these funds are allocated in a skewed manner, this raises a moral question about repayment.
- 1 Jun 2025 - Five things you should know about Ngugi wa Thiong'o
- 1 Jun 2025 - Privacy on the line: How two Bills threaten Kenya's digital freedoms