- 88 views
Watu wanne wameripotiwa kuaga dunia kwenye matukio tofauti kufuatia mikasa ya moto katika kaunti za Nakuru na Kakamega. Kwenye tukio la kwanza lililojiri katika kijiji cha Nyakairu eneo la Naivasha watoto watatu wa walifariki usiku wa kuamkia leo baada ya moto kuzuka kwenye nyumba walimokuwa. Kwenye tukio la pili mvulana wa miaka miwili vile vile amefariki baada ya kuteketea nyumbani kwao katika eneo la Kambi Mwanza, eneo bunge la Malava. viini vya mioto hiyo bado havijabainika. Timothy Kipnusu anaarifu mengi zaidi
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Watu wanne waaga dunia kufuatia mikasa ya moto
- - CATCH K24TV LIVE ››
- 1 Jun 2025 - Sakaja has warned that Nairobi County officials will take action.
- 1 Jun 2025 - Crowds of civilians rushed aid trucks in Gaza as hunger and desperation create chaotic scenes.
- 1 Jun 2025 - President Ruto is expected to lead the Madaraka Day celebrations at the stadium on Sunday.
- 1 Jun 2025 - Homa Bay County has been a beehive of activities in the last few months thanks to being host of the Madaraka Day national celebrations.
- 1 Jun 2025 - Candidates have been urged to take advantage of the opportunity.
- 1 Jun 2025 - The Woman Rep emphasized that her marriage is built on mutual respect, support, and a deep understanding of one another.
- 1 Jun 2025 - World Bank: Use civil servants allowances to upgrade Naivasha
- 1 Jun 2025 - Thorns in the flesh: Multiple forces fighting Ruto's re-election bid
- 1 Jun 2025 - Will Natembeya win where others failed to unite the Luhya nation?
- 1 Jun 2025 - Why Ngugi wa Thiong'o never won Nobel Prize for Literature