Wakimbizi 278 warejeshwa Burundi kutoka kambi ya Mulongwe, DRC
Kambi ya wakimbizi ya Mulongwe iko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Baada ya mwaka mmoja kukiwa hakuna wakimbizi wa Burundi wanaorejea nchini kwao, siku ya Alhamisi shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Wakimbizi (UNHCR) liliwarejesha wakimbizi 278 walirejeshwa Burundi kutoka kambi ya Mulongwe.
Wengi ya wakimbizi waliorejeshwa waliripoti kuwa mivutano kati yao na wenyeji wa Congo ilikuwa ni sababu kuu ya uamuzi wao kurejea nyumbani, wakati wengine waligusia kusikia kuwa usalama umerejea nchini Burundi.
Wakimbizi wa Burundi 278 waliorejeshwa walikuwa ni familia 70. Walivuka mpaka wa Kavimvira kati ya Congo na Burundi wakisindikizwa na maafisa wa UNHCR, Mkuu wa Tume ya Taifa kwa ajili ya Wakimbizi, Usaidizi, Hatua na Misaada.
Walisisitiza kuwa masharti ya uvunaji na kukataliwa kupewa ardhi yao wanayolima na baadhi ya raia wa Congo imepelekea uamuzi wao wa kurejea nyumbani.
Iwapo hawa raia wa Burundi wanarejea nyumbani, shirika la UNHCR kawaida huwapatia kila mkimbizi dola 200.
Takwimu kutoka UNHCR na Tume ya Taifa kwa Wakimbizi zinaonyesha kuwa kuna zaidi ya wakimbizi 430,000 raia wa Burundi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
#burundi #drc #voa
5 Aug 2025
- The feature is set to revolutionalise how the messaging platform works.
5 Aug 2025
- The products have grown in popularity among women.
5 Aug 2025
- Details required to register a car in Kenya.
6 Aug 2025
- Busia Senator Okiya Omtatah has outlined a bold vision for Kenya should he clinch the presidency in the 2027 General Election.
6 Aug 2025
- Busia Senator Okiya Omtatah has launched a scathing attack against President William Ruto, questioning his integrity, and suitability to hold public office.
6 Aug 2025
- Firebrand Busia Senator and 2027 presidential hopeful Okiya Omtatah has declared his net worth to be in the range of Ksh.100 million to Ksh.200 million.
6 Aug 2025
- A section of Members of Parliament allied to the Kenya Kwanza administration have strongly rejected a report by the Kenya Human Rights Commission (KHRC) that called for the scrapping of the Hustler Fund.
6 Aug 2025
- A 14-year-old who was on the verge of being married off in Kajiado County was rescued, amidst rising concerns of early child marriages during the school holiday season.
6 Aug 2025
- The building collapse that sparked Tanzania's jobs ban
6 Aug 2025
- How firm's bid to turn waste into cash is paying off
6 Aug 2025
- MPs threaten to impeach Mbadi, PS for 'contempt'
6 Aug 2025
- If he stabilises the economy, 2027 election will be Ruto's to lose
6 Aug 2025
- Why we should start thinking twice before having children