WAHAMIAJI NANE WAFARIKI WAKIJARIBU KUELEKEA UINGEREZA
Wahamiaji nane wamekufa Jumapili wakati boti yao iliyokuwa imejaa watu zaidi ya uwezo wake kuzama ikijaribu kuvuka bahari ya English Channel kutoka Ufaransa kuelekea Uingereza maafisa wa usalama wa Ufaransa wamesema. Ajali hii imetokea chini ya wiki mbili baada ya maafa mabaya zaidi kama hayo kutokea mwaka huu.
Tukio hilo baya linamaanisha idadi ya waliofariki kutaka kuelekea Uingereza kutoka Ufaransa imeongezeka kufikia wahamiaji 46 kutoka 12 waliofariki mwaka 2023, ambao wamepoteza maisha yao wakijaribu kuingia Uingereza kutoka Ufaransa, afisa wa jimbo amesema.
Serikali za Ufaransa na Uingereza zimepambana kwa miaka kadhaa kusitisha wimbi la wahamiaji ambao wanalipa wasafirishaji haramu maelfu ya Euro kila mtu kwa ajili ya kuvuka kwa boti zilizojaa watu kupita kiasi. Watu sita walionusurika wamelazwa hospitali akiwemo mtoto wa miezi 10 mwenye matatizo ya afya kutokana na baridi kali. - AFP
#wahamiaji #uingereza #englishchannel #bahari #ufaransa #ajali #boti #voa #voaswahili
5 Aug 2025
- The feature is set to revolutionalise how the messaging platform works.
5 Aug 2025
- The products have grown in popularity among women.
5 Aug 2025
- Details required to register a car in Kenya.
6 Aug 2025
- Busia Senator Okiya Omtatah has outlined a bold vision for Kenya should he clinch the presidency in the 2027 General Election.
6 Aug 2025
- Busia Senator Okiya Omtatah has launched a scathing attack against President William Ruto, questioning his integrity, and suitability to hold public office.
6 Aug 2025
- Firebrand Busia Senator and 2027 presidential hopeful Okiya Omtatah has declared his net worth to be in the range of Ksh.100 million to Ksh.200 million.
6 Aug 2025
- A section of Members of Parliament allied to the Kenya Kwanza administration have strongly rejected a report by the Kenya Human Rights Commission (KHRC) that called for the scrapping of the Hustler Fund.
6 Aug 2025
- A 14-year-old who was on the verge of being married off in Kajiado County was rescued, amidst rising concerns of early child marriages during the school holiday season.
6 Aug 2025
- The building collapse that sparked Tanzania's jobs ban
6 Aug 2025
- How firm's bid to turn waste into cash is paying off
6 Aug 2025
- MPs threaten to impeach Mbadi, PS for 'contempt'
6 Aug 2025
- If he stabilises the economy, 2027 election will be Ruto's to lose
6 Aug 2025
- Why we should start thinking twice before having children