- 8 views
Shule katika kaunti ndogo ya Rabai kaunti ya Kilifi zinatarajiwa kunufaika na maji safi baada ya mbunge wa eneo hilo Anthony Kenga kufadhili uchimbaji wa visima vya maji kama njia moja ya kutatua tatizo la uhaba wa maji.Akizindua mradi wa uchimbaji kisima cha maji katika shule ya upili ya Canon Kuri, Kenga alisema kuwa uhaba wa maji katika eneo hilo umeathiri utoaji huduma hususan katika shule ambapo wasimamizi wa shule wanalazimika kununua maji kutoka sehemu za mbali na hivyo kutumia kiasi kukubwa cha fedha zilizotengewa shughuli za kimasomo. Aliahidi kuwa kwa ushirikiano na serikali ya kaunti ya Kilifi atazindua miradi zaidi ya maji katika shule ambayo pia itawafaidi wakazi wa vijiji vilivyo karibu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Shule na umma wanufaika Kilifi
- 19 Jul 2025 - Democracy for the Citizens Party (DCP) leader Rigathi Gachagua has accused Deputy President Kithure Kindiki, of orchestrating the chaos witnessed during last month's anti-government protests.
- 19 Jul 2025 - Politicians inciting Kenyans to violence and planting seeds of hatred and discord ahead of the 2027 General Election must be called out, Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has said.
- - Activist Boniface Mwangi arrested at his home in Machakos
- 19 Jul 2025 - Revised salary structure for teachers across the country to take effect on July 1, 2025.
- 19 Jul 2025 - The former Meru County Governor Kawira Mwangaza has launched Umoja Na Maendeleo Party to champion women, inclusivity.
- 19 Jul 2025 - Politician and renowned lawyer Mugambi Imanyara has attributed Kawira Mwangaza’s political predicaments and subsequent ouster as Meru governor to her independent candidate status. Speaking during the unveiling of the former governor’s new political…
- 19 Jul 2025 - Kenya’s Emmanuel Wanyonyi lit up the London Diamond League on Saturday, July 19, 2025, by storming to a commanding victory in the men’s 800m final with a meeting record of 1:42.00. Wanyonyi, 20, left no doubt about his elite status on the global stage,…
- 19 Jul 2025 - We sleep for a third of our lives.
- 19 Jul 2025 - His wife Njeri said he was picked from their house in Machakos.
- 19 Jul 2025 - "We must stop violence, tribalism and chaos for the country to move forward"