- 506 viewsVideo iliyochukuliwa na kamera inayovaliwa mwilini iliyobandikwa Jumatatu katika mtandao wa Facebook inaonyesha kukamatwa kwa mtu anayeshukiwa kwenye jaribio la kumuua Donald Trump. Kanda hiyo ya video ilibandikwa na Ofisi ya Mkuu wa Polisi ya Kaunti ya Martin inamuonyesha Ryan Routh akitembea kinyumenyume huku mikono yake ikiwa kichwani pembeni ya barabara kabla ya kufungwa pingu na kuchukuliwa na polisi. Picha hizo zilitolewa na Ofisi ya Sheriff wa Kaunti ya Martin, Florida, maafisa wa polisi walimkamata Ryan Routh, mtu anayeshukiwa katika jaribio la kumuua Donald Trump, Jumapili, Septemba 15, 2024. (AP). #trump #assassination #voa
Mshukiwa wa jaribio la kumuua Trump akikamatwa
- 6 Aug 2025 - Busia Senator Okiya Omtatah has outlined a bold vision for Kenya should he clinch the presidency in the 2027 General Election.
- 6 Aug 2025 - Busia Senator Okiya Omtatah has launched a scathing attack against President William Ruto, questioning his integrity, and suitability to hold public office.
- 6 Aug 2025 - Firebrand Busia Senator and 2027 presidential hopeful Okiya Omtatah has declared his net worth to be in the range of Ksh.100 million to Ksh.200 million.
- 6 Aug 2025 - A section of Members of Parliament allied to the Kenya Kwanza administration have strongly rejected a report by the Kenya Human Rights Commission (KHRC) that called for the scrapping of the Hustler Fund.
- 6 Aug 2025 - A 14-year-old who was on the verge of being married off in Kajiado County was rescued, amidst rising concerns of early child marriages during the school holiday season.
- 6 Aug 2025 - If he stabilises the economy, 2027 election will be Ruto's to lose
- 6 Aug 2025 - Why we should start thinking twice before having children
- 6 Aug 2025 - Audit exposes Sh9.4b hole in e-Citizen, shows millions paid in illegal charges
- 6 Aug 2025 - Six Kenyans sue polls agency for blocking petitions to recall MPs
- 6 Aug 2025 - Raila's sudden opposition to NG-CDF after 20 years silence