- 249 views
Hoja iliyowasilishwa jana katika bunge la kaunti ya Kericho ya kumuondoa Gavana Eric Mutai imeungwa mkono na wawakilishi wadi 37. Mwakilishi wadi ya Sigowet, Kiprotich Rogony anadai kwenye hoja hiyo kwamba Gavana Mutai amekiuka katiba, sheria mbalimbali za kitaifa na kaunti, matumizi mabaya ya ofisi na utovu mkubwa wa nidhamu. Madai hayo yanajumuisha kushindwa kwake kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria na kutozingatia kanuni za usimamizi wa fedha za umma. Mwakilishi huyo ameeleza kwamba Gavana Mutai amekiuka katiba kwa Matumizi mabaya ya fedha za umma huku akidai kuwa ofisi ya gavana imekuwa ikitumia vibaya fedha zilizotengewa miradi ya maendeleo. Gavana Erick Mutai amepewa siku saba kujiandaa kwa utetezi wake kufuatia ilani ya kumwondoa madarakani.
Wawakilishi wadi 37 waunga mkono hoja ya kumtimua Gavana wa Kericho Eric Mutai
- - Duniani Leo ››
- 2 Jul 2025 - Turkish police arrested more than 120 people in the opposition stronghold of Izmir on Tuesday, hours before a key rally in Istanbul, in the latest move targeting President Recep Tayyip Erdogan's opponents.
- 2 Jul 2025 - The Palestinian health ministry said Israeli fire killed two people in the occupied West Bank on Tuesday, one of them a 15-year-old boy.
- 2 Jul 2025 - Despite missing out on the initial placement cycle, eligible candidates still have multiple pathways to higher education.
- 2 Jul 2025 - The state plays both killer and comforter; silencing people with bullets, then rushing to their families with goodies.
- 2 Jul 2025 - A court case, pending bills, budget cuts, delayed boundaries delimitation and the opposition's disapproval are some of the problems.
- 2 Jul 2025 - Kubu returns as Simbas name squad for World Cup qualifiers
- - Court frees 19 Nyandarua protest suspects on Sh100,000 bond each
- 2 Jul 2025 - Push for law to facilitate county branding of products
- 2 Jul 2025 - Kenya Pipeline, Kebs sign Sh45m petroleum testing deal
- 2 Jul 2025 - Murkomen's coup claim is meant to deflect, distract and destroy dissent