- 3,975 views
Kikao cha mahakama cha kusikiza kutimuliwa kwa gavana wa meru kawira mwangaza zimetatizwa baada ya wananchi waliokuwa wakifuatilia kesi hiyo kwa njia ya mtandao kutuma jumbe nyingi na kutatiza. Jaji Bahati Mwamuye aliagiza idadi ya watu wanaohudhuria kesi hiyo kupitia mtandao idhibitiwe ili nidhamu ya mahakama izingatiwe. mahakama imeruhusu kujumuishwa kwa baraza la magavana, FIDA na mpigakura mmoja kutoka kaunti ya Meru katika kesi hiyo. wahusika wametakiwa kuwasilisha stakabadhi na hatikiapo katika siku saba zijazo huku kesi ikipangiwa kuanza tarehe 8 oktoba. gavana Kawira Mwangaza anapinga uamuzi wa bunge la seneti lililoafikia kumwondoa ofisini baada ya bunge la kaunti ya meru kufanya hivyo.
Wananchi watatiza kesi ya kutimuliwa kwa gavana Mwangaza mtandaoni
- - Duniani Leo ››
- 2 Jul 2025 - Turkish police arrested more than 120 people in the opposition stronghold of Izmir on Tuesday, hours before a key rally in Istanbul, in the latest move targeting President Recep Tayyip Erdogan's opponents.
- 2 Jul 2025 - The Palestinian health ministry said Israeli fire killed two people in the occupied West Bank on Tuesday, one of them a 15-year-old boy.
- 2 Jul 2025 - The state plays both killer and comforter; silencing people with bullets, then rushing to their families with goodies.
- 2 Jul 2025 - Licensing of more digital credit providers to spur small businesses
- 2 Jul 2025 - Regional States to reduce barriers holding back horticulture trade
- 2 Jul 2025 - Comprehensive vs third party insurance and claims process
- 2 Jul 2025 - Mandatory local marine insurance for imports takes effect
- 2 Jul 2025 - Fees reprieve as 650,000 shun varsities, colleges
- 2 Jul 2025 - Governors seek two more weeks to spend Sh40b
- 2 Jul 2025 - The deal, known as the ‘Strategic Partnership’ involves five pillars of relations including trade and security.