Masuala muhimu yanayoibuliwa na viongozi wa dunia katika mkutano wa UNGA
Wiki hii, viongozi wa dunia watatumia jukwaa la kimataifa kupaza sauti zao kuhusu nchi zao, katika mwaka uliogubikwa na migogoro mbalimbali, changamoto za haki za binadamu, maendeleo na mabadiliko ya hali ya hewa, ikiwa ni suala la juu.
Wakati ambapo Shirika la Afya Duniani (WHO) linaashiria kuwa watu bilioni 3.6 wanaishi katika maeneo yanayohusika na mabadiliko ya hali ya hewa.
Siku ya Jumapili, wakati wa mkutano wa Future Summit, wajumbe 193 wa chombo hicho cha dunia waliidhinisha mkataba wa “Pact for the Future”.
Waraka huo unakusudia kuyaunganisha mataifa katika kutatua changamoto mbalimbali kuanzia mabadiliko ya hali ya hewa na akili mnemba (AI) hadi migogoro inayoenea na kuongezeka ukosefu wa usawa na umasikini – na kuboresha maisha ya watu zaidi ya bilioni 8 duniani.
Mkataba huo wenye kurasa 42 ulipitishwa Jumapili wakati wa ufunguzi wa mkutano wa siku mbili wa “Summit of the Future”, ambao uliendelea siku ya Jumatatu huku viongozi kutoka ulimwenguni kote wakitoa maoni yao kuhusu changamoto mbalimbali zinazoikabili dunia.
.
Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa – ulifunguliwa chini ya kauli mbiu: Kutomuacha yeyote nyuma: Kuchukua hatua pamoja kwa ajili ya kusukuma mbele amani, maendeleo endelevu na utu wa binadamu kwa ajili ya vizazi vya sasa na baadaye.
Rais wa Marekani Joe Biden ametoa hotuba yake ya mwisho Jumanne kabla ya kumaliza muhula wake wa urais.
#unga #mkutanomkuu #mataifa #marekani #newyork #un #viongozi #voa #voaswahili
5 Aug 2025
- The TikToker is currently under police custody, awaiting arraignment.
5 Aug 2025
- The report had claimed the Fund was losing millions daily.
5 Aug 2025
- Police have since launched investigations into the accident.
5 Aug 2025
- A Brazilian judge on Monday placed former president Jair Bolsonaro under house arrest for breaking a social media ban, escalating a dramatic standoff between the court and the politician, who is accused of plotting a coup.
5 Aug 2025
- The Directorate of Criminal Investigations (DCI) has apprehended Tiktoker Shedrack Omondi Okindo, alias Hon. Mosquito, in connection with an inciting video that was widely circulated on TikTok.
5 Aug 2025
- The U.S. could require bonds of up to $15,000 (approximately Ksh.1,938,150 for some tourist and business visas under a pilot program launching in two weeks, a government notice said on Monday, an effort that aims to crack down on visitors who overstay…
5 Aug 2025
- A five-day specialized training course titled "Countering Terrorism Financing and Money Laundering - Foundational Level" begun in Nairobi on Monday.
5 Aug 2025
- Before joining President William Ruto's cabinet on April 17, 2025, Geoffrey Ruku was a needle in the political haystack, but since he joined Cabinet, he has become one of the most visible figure with his tough enforcement of the the law by civil servants.
5 Aug 2025
- Hundreds of thousands of people under siege in the Sudanese army's last holdout in the western Darfur region are running out of food and coming under constant artillery and drone barrages, while those who flee risk cholera and violent attacks.
5 Aug 2025
- The United States and Rwanda have agreed for the African country to accept up to 250 migrants deported from the U.S., the spokesperson for the Rwandan government and an official told Reuters, as President Donald Trump's administration takes a hardline…
5 Aug 2025
- The TikToker is currently under police custody, awaiting arraignment.
5 Aug 2025
- Report says the initiative has failed to deliver on its mission of empowering citizens.
5 Aug 2025
- The report had claimed the Fund was losing millions daily.