Skip to main content
Skip to main content

Shughuli ya kumpa Raila heshima za kijeshi yatibuka JKIA, Rais Ruto asimpokee licha ya kuwepo.

  • | Citizen TV
    13,065 views
    Duration: 3:26
    Shughuli ya kumpa heshima za kijeshi aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinga ilitibuka leo katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta, wananchi wakivuruga shughuli pindi tu mwili wake ulipotolewa kwenye ndege. Rais William Ruto hakupokea mwili huo wa Odinga katika uwanja huo, licha ya kufika akiandamana na viongozi wengine wakuu serikalini.