Skip to main content
Skip to main content

Mwili wa Raila Odinga wasafirishwa kutoka Mumbai hadi Nairobi, ukiwasili JKIA saa tatu asubuhi

  • | Citizen TV
    7,304 views
    Duration: 2:59
    Mwili wa Raila Odinga ulisafirishwa kutoka Mumbai nchini India alikofariki hadi Nairobi, ukiwa kwenye msafara wa jamaa wa familia na maafisa wa serikali na wandani wake. Ndege iliyobeba mwili wa Raila ikiwasili katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta mwendo wa saa tatu asubuhi