- 3,405 viewsDuration: 2:36Shughuli ya Kuutazama Mwili wa marehemu Raila Odinga iliyokuwa imepangwa kufanyika katika majengo ya Bunge ilisitishwa mapema leo, baada ya umati mkubwa wa waombolezaji kujitokeza. Umati huu wa wakenya ukionekana kupuuza taratibu za kusubiri kutazama mwili huo na kujaribu kuingia bungeni kwa nguvu. Ilichukua juhudi za Mbunge wa Embakasi East Babu Owino, kuwatuliza vijana hao waliokuwa wakitishia kuvamia majengo ya Bunge