Skip to main content
Skip to main content

Wabunge waomboleza Raila Odinga, wataja mchango wake kama galacha wa siasa za Kenya.

  • | Citizen TV
    573 views
    Duration: 2:10
    Wabunge leo wamemuomboleza aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinga huku wengi wakitaja ushirikiano wao naye. Baadhi ya wabunge wakikumbuka mchango wa Raila kwenye maisha yao ya kisiasa, wakisema kenya imepoteza mti na galacha wa siasa