- 76 views
Kufanikisha vita dhidi ya ufisadi nchini kutachukua muda mrefu iwapo vita hivyo vitaachiwa tume ya maadili na kupambana na ufisadi pekee. Haya ni kwa mujibu wa naibu mkurugenzi wa elimu na hamasa ya umma wa eacc Emily Mworia. Wakizungumza mjini machakos wakati wa ufunguzi wa warsha ya wakaguzi wa bajeti na wafanyakazi wa serikali, maafisa wa Eacc wameeleza umuhimu wa ushirikiano baina ya wadau mbalimbali kufanikisha vita dhidi ya ufisadi. eacc inasema kuwa ukosefu wa ushirikiano unalemaza juhudi za EACC kukabiliana na ufisadi nchini. utoaji wa habari kuhusu ufisadi katika mashirika ya serikali na ulinzi wa wanaofichua ushahidi ni changamoto kuu.
EACC yashinikiza ushirikiano kukomesha ufisadi
- 5 May 2025 - Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has warned the Mt. Kenya region that it risks losing the second-in-command position if they don’t fully support President William Ruto, ahead of the 2027 general election.
- 5 May 2025 - South African troops withdrawing from the conflict in the eastern Democratic Republic of Congo have begun assembling in Tanzania and most should return home this month, the defence chief said on Sunday.
- 5 May 2025 - US President Donald Trump said in a television interview airing Sunday that he does not know whether he must uphold the US Constitution.
- 5 May 2025 - Dutch airline KLM announced the cancellation of two more long-distance flights on Sunday a day after it grounded seven Boeing 787s because of technical concerns, Dutch press agency ANP said.
- 5 May 2025 - Nearly a year after the bloodshed, not a single conviction has been secured. The government remains silent, even as autopsy reports confirmed that gunshot wounds and blunt force trauma were the leading causes of death among the 60 recorded fatalities.
- 5 May 2025 - Speaking during an empowerment forum for local traders in Gatundu North, Kindiki asserted that the Kenya Kwanza administration's main challenge is not political alliances but the commitment to deliver on its promises to the Kenyan people.
- 5 May 2025 - Kenya Kwanza's sweet health promise suffers funding pains
- 5 May 2025 - The dangerous obsession with a 'clean' vagina: How online myths are harming women health
- 5 May 2025 - Embattled Speaker accuses MCAs of disobeying court
- 5 May 2025 - 'Our time to eat': How Raila Odinga's kin fortunes changed after handshake with Ruto