- 16 views
Maafisa zaidi kutoka ofisi za uhamiaji watapelekwa kwenye mipaka ili kuimarisha juhudi za kulinda mipaka dhidi ya kuenea kwa ugonjwa wa mpox nchini kenya.katibu mkuu wa uhamiaji, Profesa Julius Bitok, akisema kwamba maafisa hao wanatarajiwa kufanya kazi kwa ukaribu na wizara ya afya na taasisi nyingine za serikali ili kuhakikisha wageni wanachunguzwa kwa virusi hivyo. Katibu mkuu alikuwa akizungumza baada ya kusimamia kuhitimu kwa maafisa 300 wapya wa uhamiaji katika shule ya serikali ya kenya huko kabarnet, kaunti ya Baringo.wahitimu hawa walipitia mafunzo ya kina kwa wiki tano kuhusu mchakato wa uhamiaji, usalama, ujasusi na mawasiliano.haya yanajiri siku chache baada ya waziori wa afya kutangaza kuongezeka kwa visa vya ugonjwa huu nchini kenya idadi ya wagonjwa hawa ikihesabu sasa saba. __
Thank you for watching this video. Kindly subscribe for more content from 'Home of The Untold Stories.'
*About TV47* 'TV47 is on GOtv (Channel 102), DStv (Channel 268), SIGNET, Gotv, BAMBA and STARTIMES. __ For Breaking News, kindly subscribe by sending ‘NEWS’ to 22047. __
Connect with us:
Website: https://www.tv47.digital/ Facebook: https://www.facebook.com/TV47KE Twitter: https://twitter.com/tv47news Instagram: https://www.instagram.com/tv47ke/ TikTok: https://www.tiktok.com/@tv47_ke Telegram: https://t.me/tv47_ke WhatsApp: 0797 047 047 __
Maafisa zaidi waajiriwa kusaidia katika udhibiti wa msambao wa ugonjwa wa Mpox
- - 🔴 TV47 Live ››
- - Duniani Leo ››
- 3 Jul 2025 - President Donald Trump announced Wednesday that he had struck a trade deal with Vietnam under which the country would face a minimum 20 percent tariff and open its market to US products.
- 3 Jul 2025 - July 3 – judge has denied bail to Sean “Diddy” Combs after a jury convicted the hip-hop mogul of transportation to engage in prostitution, but acquitted him of the most serious charges: racketeering and sex-trafficking. Lawyers for the recording artist…
- 3 Jul 2025 - In June 2025, China removed all tariffs on exports from 53 African countries. This is a transformative opportunity for African economies to expand their export base, create jobs and integrate more meaningfully into the global economy. It is also a strong…
- 3 Jul 2025 - One of those affected had to delete posts deemed offensive
- 3 Jul 2025 - MPs' attempt to entrench it in law after courts faulted it deemed 'exercise in futility'
- 3 Jul 2025 - State says move will make it convenient for witnesses most of whom stay in the lakeside city
- 3 Jul 2025 - His mother, Eucabeth Ojwang, emotionally recalled the last moments she saw her son alive.
- 3 Jul 2025 - He vowed to fight graft and restore stability and denied being Uhuru’s project
- 3 Jul 2025 - A bipartisan peace committee has been created to oversee equitable access to shared resources, mediate disputes, and provide proactive, homegrown solutions before disagreements escalate into violence between the Gabra and Dasanaach communities of…
- 3 Jul 2025 - A family in Kandara, Murang’a county, is demanding justice for their son, who was shot by the police in Juja during the demonstrations last week. Ian Muhindi is said to have been shot by the police at the top of a nine-storey building where he was…