- 137 views
Maafisa wa idara ya upelelezi wa jinai wanamsaka mbunge wa Embakasi ya kati Benjamin Gathiru al maarufu Mejja Dong na mwenzake wa Embakasi kaskazini James Gakuya, ambao wadaiwa kupanga maandamano ya vijana ambayo yaliishia na uvamizi wa bunge la kitaifa. Hii ni baada ya mkurugenzi wa mashtaka ya umma Renson Ingonga kuidhinisha mashtaka dhidi ya wabunge hao pamoja na aliyekuwa mbunge wa Embakasi Magharibi George Theuri, aliyekuwa mbunge wa Nyeri Mjini Ngunjiri Wambugu na katibu wa binafsi wa naibu rais Pius Munene. Na jinsi Abdiaziz Hashim anavyotuarifu, mahakama tayari imetoa maagizo ya kuzuia kwa muda kukamatwa, kuzuiliwa au kushtakiwa kwa Theuri, Ngunjiri na Munene.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
DCI yawasaka wabunge wawili wanaodaiwa kufadhili maandamano ya Gen-Z
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 5 May 2025 - Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has warned the Mt. Kenya region that it risks losing the second-in-command position if they don’t fully support President William Ruto, ahead of the 2027 general election.
- 5 May 2025 - Detectives have arrested four suspects in the murder of Kasipul MP Charles Ong’ondo Were and recovered the vehicle that they used in surveillance hours before the shooting. The motorcycle, which the gunmen used, has also been recovered in Dandora,…
- 5 May 2025 - South African troops withdrawing from the conflict in the eastern Democratic Republic of Congo have begun assembling in Tanzania and most should return home this month, the defence chief said on Sunday.
- 5 May 2025 - US President Donald Trump said in a television interview airing Sunday that he does not know whether he must uphold the US Constitution.
- 5 May 2025 - Dutch airline KLM announced the cancellation of two more long-distance flights on Sunday a day after it grounded seven Boeing 787s because of technical concerns, Dutch press agency ANP said.
- 5 May 2025 - The Anti-Doping Agency of Kenya (ADAK) has intensified sensitisation campaigns across the country in a bid to fight doping in sports. The agency is upbeat that this move or strategy will stamp out the menace in sports going forward, stating that doping…
- 5 May 2025 - Self-medication is a risk you can't afford
- 5 May 2025 - Opposition: We will send Ruto home in 2027
- 5 May 2025 - Poor pest control hurting maize production in the country
- 5 May 2025 - The 12 minutes call that sparked a mother's hope for son's return