- 135 views
Waathiriwa wa mafuriko katika kaunti ya Tana River sasa wanataka serikali ya kaunti hiyo kuharakisha mpango wa kuwapa vifaa vya kujenga makazi mapya wakisema wanapitia changamoto nyingi za kimaisha. serikali ya kaunti hiyo inanuia kuwahamisha wenyeji wa vijiji vya Mororo, Ziwani na Bakuyu kutoka eneo lililofurika na kuwapa makao ya kudumu na salama katika sehemu iliyotengwa. Waathiriwa hao ambao wamehamia sehemu hiyo wanalalamika kukosa huduma na bidhaa muhimu kutoka kwa serikali na kutaka idara husika kuharakisha utoaji wa huduma hizo.
Waathiriwa wa mafuriko Tana River wanateta
- 4 Jul 2025 - South Africa's former deputy president David Mabuza has died aged 64, the country's public broadcaster reported on Thursday.
- 4 Jul 2025 - Kenyan firms across multiple sectors faced a challenging month in June, grappling with weakened consumer demand, operational pressures, and renewed street protests that disrupted commerce and mobility. These compounded challenges led to sluggish sales…
- 4 Jul 2025 - Limuru Golf Course will this weekend host a field of 98-top ranked golfers for the 98th edition of the Limuru Open and the Brakenhurst Trophy. The event is primed to showcase the finest in Kenyan golf with the participants vying for a prize pool of Sh…
- 4 Jul 2025 - Kenya national team head coach Harambee Stars head coach Benni McCarthy has unveiled a provisional squad for the upcoming CAF African Nations Championship (CHAN), a tournament exclusive to players competing in their domestic leagues. According to the…
- 4 Jul 2025 - Kenyan Parliament has given the National Olympic Commitee of Kenya (NOC-K) two weeks to hold its eagerly awaited elections or ship out. NOC-K has also been directed to use the initial list provided by the Sports Registrar to conduct the polls that have…
- 4 Jul 2025 - Police station set on fire as Ojwang' returns in coffin
- 4 Jul 2025 - State urges traders to have skills certified
- 4 Jul 2025 - MPs questions State overreach in new media code of conduct
- 4 Jul 2025 - Why Kariuki couldn't survive the police bullet
- 4 Jul 2025 - Farmers to get record payment, says Coop boss