17 Oct 2025 8:42 pm | Citizen TV 13,612 views Duration: 5:02 Gavana wa Kaunti ya Siaya James Orengo amewataka waombolezaji kuwa watulivu na kumpa hayati Raila Odinga heshima za mwisho kwa ustaarabu wakati wa ibada ya mazishi na mazishi yatakayofanyika Jumapili.