Skip to main content
Skip to main content

Wakenya kutoka maeneo mbalimbali waelekea Bondo kwa mazishi ya hayati Raila Odinga

  • | Citizen TV
    6,104 views
    Duration: 4:11
    Wakenya kutoka maeneo mbalimbali kwa sasa wako njiani kuelekea Bondo, kaunti ya Siaya kwa mazishi ya hayati Raila Odinga. Aidha hafla mbalimbali za maombi na kuwasha mishumaa ikishuhudiwa katika kaunti kadhaa. Hii ikiwa njia moja ya wakenya kuenzi mchango wake katika uongozi na demokrasia ya taifa hili.