Copy of ”Mtu akiongea namsikia vizuri kuwa anaongea lakini siwezi kuelewa yale maneno”
Rukia Jamal anasema changamoto ya usikivu hafifu hakuzaliwa nayo, ilianza taratibu lakini baada ya kujifungua Januari 2018 ndipo kwa mara ya kwanza tatizo lilizidi na masikio yake kuziba kabisa.
Licha ya changamoto hiyo Rukia ameweza kutumia fursa katika mitandao ya kijamii kufanya biashara na kutoa elimu kwa jamii kuhusu usikivu hafifu
Je usikivu hafifu ni nini? na anawezaje kufanya biashara katika hali hiyo?
-
Rukia Jamal anazungumza na @martha_saranga katika Waridi wa BBC kuanzia majira ya saa nane mchana na kujibu maswali yote.
-
-
-
#bbcswahili #waridiwabbc #wanawake
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
15 May 2025
- Gunshots were fired during Gachagua's event on Thursday.
15 May 2025
- The highway will help address the prevalent congestion along the major highway.
15 May 2025
- This comes after the court ordered the accused to be remanded at the Industrial Area Prison until Monday, May 19,
16 May 2025
- CMA approves Standard Group's Sh1.5b rights issue
16 May 2025
- 24 million Kenyans wear mitumba: Report
16 May 2025
- PS Omollo: Homa Bay ready to host Madaraka Day celebrations
16 May 2025
- Residents protest neglect of colonial-era DC's office
16 May 2025
- PSC distances itself from UoN leadership wrangles
16 May 2025
- Magwanga escapes alleged gun attack after death of Kasipul MP
16 May 2025
- Gachagua's party joins country's growing special-purpose vehicles
16 May 2025
- Somalia training special armed unit to face off with al-Shabaab
16 May 2025
- Tower of babel: Security chiefs at odds as Kenya faces mounting threats
16 May 2025
- Former top cop Charles Owino provides compelling analogy of how to commit murder