77% ya Wakenya wanaamini kuwa Mswada wa Fedha wa 2024 ni wa kupoteza wakati: Infotrak

  • | NTV Video
    179 views

    Asilimia 77 ya Wakenya wanaamini kuwa Mswada wa Fedha wa 2024 ni wa kupoteza wakati kwani hautafaa uchumi wa nchi kwa vyovyote. Haya ni kulingana na utafiti uliofanywa na kampuni ya utafiti ya Infotrak kati ya tarehe 23 na 29 Mei. Utafiti huo unaonyesha angalau Wakenya wanane kati ya kumi wanapinga mapendekez mbalimbali ya ushuru kwenye Mswada huo. Hebu sasa tuangalie baadhi ya hatua hizo na majibu ya Wakenya

    Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.

    Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya