Abdul Nondo: 'Watekaji wamenionya niongee nikiongea wataniua'
“Walinifunga kitambaa cheusi kwenye macho, kamba mikononi … walinisafirisha kwa mwendo huku nikipigwa na baadaye walininginiza mahali, miguu juu huku wakinipiga kwenye unyao wa miguu, walinipiga mgongo na mikononi,”
-
Mwanasiasa wa chama cha upinzani Tanzania ACT Wazalendo, Abdul Nondo ameieleza BBC huku akisema watekaji walikuwa wakimpa vitisho kila mara.
-
Nondo ambaye ni Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT Wazalengo, amedai kuwa alikamatwa na kuchukuliwa kwa nguvu na watu sita dakika chache baada ya kuwasili katika eneo la Stendi Kuu ya Mabasi jijini Dar es Salaam akitokea Kigoma alipokuwepo kikazi.
Sikiliza yaliyomsibu kama alivyomsimulia mwandishi wetu Halima Nyanza.
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
21 Jul 2025
- The affected will have their lands reallocated or repossessed.
21 Jul 2025
- The activist was arrested on Saturday.
21 Jul 2025
- The matatu was officially unveiled at KICC over the weekend.
21 Jul 2025
- The affected will have their lands reallocated or repossessed.
21 Jul 2025
- Former Law Society of Kenya (LSK) President Eric Theuri has criticized the government’s decision to charge arrested protesters with terrorism-related offenses, calling the move "ridiculous" and lacking any legal foundation.
21 Jul 2025
- A gang of over 10 people raided a coffee factory in Mwea East, Kirinyaga County tied and injured two night watchmen before escaping with 26 bags of the farm product valued at 1.8 million.
21 Jul 2025
- Ex-governor and her family take over the Umoja na Maendeleo Party.
21 Jul 2025
- The arrest triggered widespread public attention, with authorities claiming to have recovered items that raised national security concerns.
21 Jul 2025
- His lawyers want the case to be transferred to Milimani Law Courts
21 Jul 2025
- Girls who cannot afford pads are conceiving and seeking abortion services to ward off periods
21 Jul 2025
- Kiswahili connects cultures at Confucious Institute.
21 Jul 2025
- Speaking during an interview with K24 on Monday, Maraga also said he is aware of the challenges that lie ahead.
21 Jul 2025
- As incomes stagnate or dwindle, the cost of living continues to soar