Skip to main content
Skip to main content

Abiria wakwama katika kituo cha mabasi Kitale kufuatia mgomo wa wahudumu wa usafiri

  • | Citizen TV
    243 views
    Katika Kaunti ya Trans Nzoia, abiria walilazimika kupiga kambi katika Kituo cha Magari mjini Kitale baada ya kituo hicho kusalia mahame, hali iliyosababisha huduma za uchukuzi kulemazwa kwa muda. Wameipa serikali muda wa kushusha bei ya mafuta wakisema gharama ya juu ya mafuta ndiyo chanzo cha usumbufu huo na kusambaratika kwa huduma za usafiri.