Afande Sele: Soko la muziki limekuwa rahisi, laini na limetanuka
Msanii mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania Selemani Msindi almaarufu kama Afande Sele amesema hawezi kurudi kwenye siasa tena kutokana na kile anachokiita kutokuwepo kwa ukweli.
@afandesele1976 alivuma na vibao kama Watu pori, Darubini kali na vingine vingi ambavyo vilimzolea umaarufu mkubwa hata kutwaa tuzo ya mfalme wa Rhymes jina ambalo limesalia kwake hadi hii leo.
Lakini siku za hivi karibuni amewekeza nguvu zake kwenye utoaji elimu ya utunzaji wa mazingira kupitia muziki, makongamano na hata bustani darasa nyumbani kwake aliyoipa jina la Pori la Simba
@eagansalla_gifted_sounds alimtembelea Mkoani Morogoro na kuandaa taarifa hii.
#bbcswahili #tanzania #morogoro
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
29 Apr 2024
- The proposal is in line with the government's plan to construct 100,000 kilometres of a national fibre optic line.
29 Apr 2024
- In this Newsletter, we are covering Museveni's tough talk at KICC and decision to lift ban for Ruto only.
29 Apr 2024
- Previously, foreigners were subjected to a vetting committee.
29 Apr 2024
- KQ stated on Monday that without its staff, it would be unable to effectively support its flights to Kinshasa.
29 Apr 2024
- Chiefs will be held personally liable for any issuance of Kenyan National ID Cards to non-natives within their jurisdictions following the disbandment of vetting committees starting Wednesday this week.
29 Apr 2024
- Three suspects were on Monday arraigned at the Embu Law Court for running an extortion syndicate targeting men.
29 Apr 2024
- Kenya Railways announced that tickets purchased for travel by students between Monday, April 29, and Friday, May 3 will remain open for use from Monday, May 6 to Friday, May 10.
29 Apr 2024
- The High Court on Monday ordered former Murang’a Governor Mwangi Wa Iria to immediately present himself at the Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) headquarters in Nairobi.
29 Apr 2024
- Togolese voted in legislative elections on Monday after a divisive constitutional reform that opponents say allows President Faure Gnassingbe to extend his family's decades-long grip on power.
29 Apr 2024
- Lilian Seenoi-Barr was selected by the Social Democratic and Labour Party (SDLP) to become the next mayor of Derry City and Strabane District Council.
29 Apr 2024
- Developing countries are now net contributors to the global economy on the back of high loan interest payments
29 Apr 2024
- The firm is a key stakeholder in the economic development of the region.
29 Apr 2024
- Advocate says programme aims to provide educational assistance to needy students