- 175 viewsDuration: 49sTimu ya AFC leopards imepunguza pengo dhidi ya viongozi gor mahia hadi pointi saba baada ushindi wa bao 1-0 dhidi ya nairobi united katika mechi ya ligi kuu ya kandanda iliyochezwa alasiri ya leo. Ingwe ilifunga bao la pekee mapema katika kipindi cha kwanza.